Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta
akiongoza bunge hilo wakati wa kipindi cha upigaji kura Rasimu inayopendekezwa
leo 29 Septemba, 2014.
(Picha zote na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma)
Waziri Mkuu wa Tanzania ambaye pia ni mjumbe wa Bunge Maalum
la Katiba, Mhe. Mizengo Pinda akiipigia kura Rasimu inayopendekezwa leo 29
Septemba, 2014.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba toka upande wa Zanzibar
wakiwa wamekaa upande wao bungeni hapo leo 29 Septemba, 2014 mjini Dodoma.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba toka upande wa Tanzania
Bara wakiwa wamekaa upande wao bungeni hap oleo 29 Septemba, 2014 mjini Dodoma.
Makamu wa Pili wa Zanzibar ambaye pia ni mjumbe wa Bunge
Maalum la Katiba, Mhe. Seif Ali Idd akipiga kura yake bungeni hapo kuipigia
Rasimu ya Katiba inayopendekezwa leo 29 Septemba, 2014 mjini Dodoma.
Mjumbe wa Bunge Maalum toka upande wa Zanzibar, Mhe. Pandu
Ameir Kificho naye akiipigia kura Rasimu ya Katiba inayopendekezwa bungeni hapo
leo 29 Septemba, 2014 mjini Dodoma.






No comments:
Post a Comment