Tuesday, 23 September 2014

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AANZA ZIARA MKOANI TANGA

Katibu  Mkuu CCM Ndugu Abdulramhani Kinana akiongozana na Menyekiti wa CCM mkoani Tanga Henry Daffa Shekifu mara baada ya kupokelewa katika kata ya Mkata wilayani  3 
Vikundi vya ngoma vikitumbuiza katika mapokezi hayo. 4 
Mhandisi wa maji wilayani Handeni Injinia Richard Macha akisoma maelezo ya mradi huo mbele ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana. 7 
Mbunge wa jimbo la Handeni Dr. Abdallah Kigoda akizungumza wakati akieleza juu ya mradi wa maji unaotekelezwa katika kata ya Mkata. 8 
Nape Nnauye anayepiga  gitaa na Mkuu wa wilaya ya Handeni Mh. Muhingo Rweyemamu anayepiga ngoma wakishiriki kutoa burudani katika mkutano huo. 18 
Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi wakiwapa somo wakazi wa mjini Handeni katika uwanja wa soko la Zamani kata ya Chanika. 19 
Umati wa wananchi waliojitokeza katika mkutano huo uliofanyika katika uwanja wa soko la Zamani kata ya Chanika. 20 
Mwenyekiti wa CCM Mkoani Tanga Henry Daffa Shekifu akizungumza katika kutano huo uliofanyika mjini Handeni,katika uwanja wa soko la Zamani kata ya Chanika. 21 
Mbunge wa jimbo la Handeni Dr. Abdallah Kigoda akiwahutubia wapiga kura wake wakati wa mkutano wa hadhara mjini Handeni 23 
Mmoja wa vijana waliohudhuria katika kutano huo aliyejulikana kama (Moja kwa Moja) akuliza swali katika mkutano huo

No comments:

Post a Comment