Mwenyekiti
wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta (kulia) akiteta jambo na
Mzee Kingunge Ngombale Mwiru wakati wa Bunge Maalum la Katiba leo 03
Septemba, 2014 Mjini Dodoma.
Baadhi
ya Wajumbe toka Kamati mbalimbali wakiendelea kuwasilisha taarifa za
Kamati zao katika Bunge Maalum la Katiba leo 03 Septemba, 2014 Bungeni
Mjini Dodoma.
Baadhi
ya Wajumbe toka Kamati mbalimbali wakiendelea kuwasilisha taarifa za
Kamati zao katika Bunge Maalum la Katiba leo 03 Septemba, 2014 Bungeni
Mjini Dodoma.
Baadhi
ya Wajumbe toka Kamati mbalimbali wakiendelea kuwasilisha taarifa za
Kamati zao katika Bunge Maalum la Katiba leo 03 Septemba, 2014 Bungeni
Mjini Dodoma.
(Picha zote na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma)






No comments:
Post a Comment