Chama Cha Mapinduzi kata ya Tungi jimbo la Kigamboni Wilaya ya Temeke wamekutana leo katika kikao maalumu kupanga mikakati ya uchaguzi ujao wa Serikali za mitaa. Mgeni rasmi katika mkutano huo alikuwa ni MJUMBE wa NEC Ndg. Phares Magesa ambae aliwataka wanachama za CCM kuimarisha Umoja, kuvunja makundi na kuhakikisha CCM inashinda mitaa yote
Ndg. Magesa akisalimiana na wajumbe wa mkutano huo
Ndg. Magesa akihutubia mkutano huo
Baadhi ya wajumbe wa kikao hicho
Ndg. Magesa akisalimiana na wajumbe wa mkutano huo
Ndg. Magesa akihutubia mkutano huo
Baadhi ya wajumbe wa kikao hicho
No comments:
Post a Comment