Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi waliofika kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Tangamano kata ya Tangamano wilaya ya Tanga mjini.
Wananchi wakiwa na bango lao kwenye mkutano wa hadhara wakati wa mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kwenye uwanja wa mikutano Tangamano.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana , Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwa pamoja wakiwapungia wananchi waliofika kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya mikutano Tangamano, Tanga mjini.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipeana mkono na Mzee Athumani Makalo wakati akiwasili kwenye uwanja wa mkutano wa Tangamano.
Wananchi wa Tanga mjini wakishangilia ujio wa Katibu Mkuu wa CCM kwenye viwanja hivyo ya mikutano.





No comments:
Post a Comment