.
Pages
Home
MAWASILIANO
MATUKIO
Sunday, 19 April 2015
MKUTANO WA KAIMU KATIBU MKUU WA CHADEMA JOHN MNYIKA MUSOMA LEO
Kaimu Katibu Mkuu John Mnyika leo jioni akihutubia mjini Musoma, Uwanja wa Mkendo baada ya asubuhi kuzindua mafunzo ya timu za kampeni, viongozi wa chama na viongozi wa serikali za mitaa kwa kanda ya Serengeti (Mara, Simiyu na Shinyanga), ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kushinda dola na kuongoza serikali, kama yalivyozinduliwa kitaifa na Mwenyekiti wa Taifa hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
Umati wa wananchi ukiwa katika mkutano wa hadhara.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment