Saturday, 9 May 2015

CHADEMA WAFANYA MKUTANO WAO LEO ARUSHA

Mheshimiwa Tundu Lissu akiwahutubia wakazi wa Arusha Mjini katika mkutano mkubwa ulioambatana na mvua kubwa leo.http://chademablog.blogspot.com/PICHA KWA HISANI YA http://chademablog.blogspot.com/

Wakazi wa Arusha wakiwa katika mkutano mkubwa ulioambatana na mvua lakini wamesema leo hatuondoki hata kama mvua ya mawe itanyesha

Makamanda wakiwa wamelowa chapa chapa lakini bila kujali mvua wameweza kufanya mkutano kama kawaida.

No comments:

Post a Comment