Saturday, 16 May 2015

RAIS KIKWETE AKAGUA UJENZI WA MIKUTANO WA KIMATAIFA WA DODOMA

do1
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Dodoma unaojengwa na Chama Cha Mapinduzi CCM
do3
Muonekano wa ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Dodoma(picha na Freddy Maro
do4
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na makandarasi wanaojenga ukumbi wa kimataifa wa Mikutano wa Dodoma leo.
do5
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Dodoma unaojengwa na Chama Cha Mapinduzi CCM kulia ni makamu mwenyekiti wa CCM Bara Philip Mangula.

No comments:

Post a Comment