Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua mradi wa maji katika Chanzo cha maji kwenye kijiji cha Muyuyu kata ya wilaya ya Rufiji wakati wa Ziara ya kiongozi huyo inayoendelea katika mkoa wa Pwani, ikiwa ni ukaguzi wa utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010. ikiwa ni pamoja na kuhimiza wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo, Katika ziara hiyo Kinana anaongoza na Katibu wa NEC Siasa, Uenezi na Itikadi,(PICHA NA KIKOSI KAZI CHA FULLSHANGWE-KIBITI)
Mbunge wa jimbo la Kibiti . Mh. Abdul Marombwa akimtwisha ndoo ya maji mmoja wa watumishi wa zahanati ya kijiji cha Muyuyu wakati ziara ya katika mkoa wa Pwani
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Andulrahmani Kinana akipanda mti katika zahanati ya kijiji cha Nyamatanga wilayani Kibiti mkwani Pwani
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Andulrahmani Kinana akishiriki ujenzi katika zahanati ya kijiji
Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi akizumza na wananchi wa kijiji
Nyamatanga kata ya Nyamatanga
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Andulrahmani Kinana akishiriki kupiga marimba katika
cha Songa.
Nyamatanga kata ya Nyamatanga
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Andulrahmani Kinana akishiriki kupiga marimba katika
cha Songa.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Andulrahmani Kinana akiweka jiwe la msingi katika ofisi ya
Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi akishiriki katika ujenzi wa ofisi ya
Kibiti CCM
Katibu Mkuu mahia kuc yindwa CCM Ndugu Andulrahmani Kinana akipata mahindi ya
kuchoma mjini Kibiti.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Andulrahmani Kinana akikagua soko jipya mjini Kibiti.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Andulrahmani Kinana akikagua soko jipya mjini Kibiti.
MsKatibu wa CCM Mkoa wa Pwani mama Joyce Masunga akizungumza na waanchinchi wa
Kibiti.
Mkuu wa wilaya ya Rufiji Bw. Nurdin Babu akiteta jammbo na Mbenge wa jimbo la Kibiti Mh. Abdul Marombwa huku Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Pwani Ndugu Mwisheshe Mlao.
Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi akimsikiliza aliyekuwa Selemani Ndumbogani Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMa Kibiti mara baada ya kutangaza kurejea CCM.
Selemani Ndumbogani Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMa Kibiti maraa akikabidhi kadi yake kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Andulrahmani Kinana baada ya kutangaza kurejea
CCM.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Andulrahmani Kinana akizungumza jambo na wazeee wa baada ya kuweka jiwe la msingi ujenzi wa ofisi ya serikali ya kijiji cha Kinyanya.
Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi akishiriki katika ujenzi wa ofisi ya
Kibiti CCM
Katibu Mkuu mahia kuc yindwa CCM Ndugu Andulrahmani Kinana akipata mahindi ya
kuchoma mjini Kibiti.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Andulrahmani Kinana akikagua soko jipya mjini Kibiti.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Andulrahmani Kinana akikagua soko jipya mjini Kibiti.
MsKatibu wa CCM Mkoa wa Pwani mama Joyce Masunga akizungumza na waanchinchi wa
Kibiti.
Mkuu wa wilaya ya Rufiji Bw. Nurdin Babu akiteta jammbo na Mbenge wa jimbo la Kibiti Mh. Abdul Marombwa huku Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Pwani Ndugu Mwisheshe Mlao.
Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi akimsikiliza aliyekuwa Selemani Ndumbogani Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMa Kibiti mara baada ya kutangaza kurejea CCM.
Selemani Ndumbogani Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMa Kibiti maraa akikabidhi kadi yake kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Andulrahmani Kinana baada ya kutangaza kurejea
CCM.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Andulrahmani Kinana akizungumza jambo na wazeee wa baada ya kuweka jiwe la msingi ujenzi wa ofisi ya serikali ya kijiji cha Kinyanya.


No comments:
Post a Comment