Picha zikionyesha matukio mbalimbali ya tukio la ajali ya gari iliyohusisha gari la Mbunge wa jimbo la Mbeya mjini Mh. Joseph Mbilinyi Mr II iliyotokea leo mchana kwenye mlima wa Kitonga akiwa safarini kutoka Mbeya. hata hivyo katika ajali hiyo watu wote wamenusulika kama wanavyoonekana kwenye picha wa pili kutoka kulia ni Mh. Joseph Mbilinyi Mbunge wa Mbeya mjini.

No comments:
Post a Comment