Saturday, 21 March 2015

RAIS KIKWETE AMPONGEZA RAIS MPYA WA NAMIBIA DKT.HAGUE GEINGOB

qqq
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Mpya wa Namibia Dkt.Hage Geingob wakati wa sherehe za kuapishwa kwake zilizofanyika katika Uwanja wa michezo wa Uhuru wa Namibia jijini Windhoek leo.Sherehe za kumuapisha Rais huyo wa tatu wa Namibia ziligongana na maadhimisho ya miaka 25 ya uhuru wan chi hiyo.
(picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment