Monday 10 August 2015

LOWASA ACHUKUA FOMU ZA URAIS

Mgombea wa Nafasi ya Urais Kupitia CHADEMA, Edward Lowassa akikabidhiwa fomu za Urais na Ofisa wa tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, hii leo alipofika kwenye Ofisi hizo Jijini Dar es Salaam.
Sehemu
ya Umati wa wafuasi wa Chadema uliofika kwenye Ofisi za Tume ya
Uchaguzi ili Kumsindikiza Mgombea wa Nafasi ya Urais kupitia CHADEMA,
Edward Lowassa hii leo.
 
Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki, Tundu Lissu nae alikuwepo kumsindikiza Edward Lowassa kuchukua fomu ya Urais kupitia CHADEMA.

No comments:

Post a Comment