Sunday 9 August 2015

UONGOZI WA CCM ARUSHA,NANGOLE NA KADOGOO WATIMUKIA CHADEMA

kadogooo11111
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha Onesmo  Ole Nangole kulia akizungumza na waandishi wa habari leo mara baada ya kuhamia rasmi chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA)kushoto niKatibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Arusha Isaac Joseph Maarufu kama Kadogoo(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)

No comments:

Post a Comment