Sunday 9 August 2015

RAIS KIKWETE AZINDUZA KIVUKO CHA MV MAFANIKO NA KUZINDUA MRADI WA NYUMBA ZA NHC MKOANI MTWARA LEO

 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa,Ndugu Nehemia Mchechu akizungumza jambo na Rais  Dkt Jakaya Kikwete mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa nyumba 30za makazi zinazojengwa  na NHC Shangani mkoani Mtwara zenye thamani ya shilingi bilioni 4.4,Kulia ni Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais mteule wa chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli wakiondoka eneo la tukio mapema leo mchana
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa,Ndugu Nehemia Mchechu
akizungumza jambo na Rais  Dkt Jakaya Kikwete mara baada ya kuweka jiwe
la msingi katika mradi wa ujenzi wa nyumba 30za makazi zinazojengwa  na
NHC Shangani mkoani Mtwara zenye thamani ya shilingi bilioni 4.4,Kulia
ni Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais mteule wa chama cha CCM,Dkt John
Pombe Magufuli wakiondoka eneo la tukio mapema leo mchana.
 Sehemu kivuko hicho kilichozinduliwa Rais Dkt Jakaya Kikwete mapema leo mkoani Mtwara.
 Naibu
Waziri wa Fedha Mh.Mwigulu Nchemba akiteta jambo na Waziri wa Ujenzi
Mh.John Pombe Magufuli kabla ya uzinduzi wa Kivuko cha Mv Mafanikio
mkoani Mtwara mapema leo mchana
 Waziri
wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Rais Jakaya
Kikwete kabla ya uzinduzi wa kivuko cha Mv Mafanikio mkoani Mtwara
mapema leo mchana,kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mh.Fatma Salum Ali.
 Rais
Dkt Jakaya Kikwete akizungumza jambo na Naibu Waziri wa Fedha,Mh
Mwigulu Nchemba ambaye pia alihudhuria sherehe hizo fupi uzinduzi wa
kivuko cha Mv Mafanikio mkoani Mtwara mapema leo mchana
 Rais
Kikwete akizindua rasmi kivuko cha MV Mafanikio kwenye pwani ya mji wa
Mtwara kitachofanya safari kutokea Msemo kuelekea Msangamkuu muda huu
mkoani Mtwara.
  Rais Dkt.Jakaya Kikwete akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa kivuko cha Mv Mafanikio kwenye pwani ya mji wa Mtwara kitachofanya safari kutokea Msemo kuelekea Msangamkuu muda huu mkoani Mtwara.Kivuko cha MV Mafanikio kina uwezo wa kubeba watu 100 na magari sita,chenye jumla ya thamani ya shilingi
bilioni 3.3

Rais Dkt.Jakaya Kikwete akiwa ameambatana Waziri wa Ujenzi Dkt John
Pombe Magufuli mara baada kushuka kwenye kivuko cha Mv Mafanikio katika
kata ya Msanga
Mkuu-Mtwara vijijini mara baada ya kuzinduliwa na Rais Jakaya
Kikwete,kivuko hicho kina uwezo wa
kubeba watu 100 na magari sita,chenye jumla ya thamani ya shilingi
bilioni 3.3
Rais Dkt.Jakaya Kikwete akiwapungia mkono wananchi wa Msanga
Mkuu-Mtwara vijijini waliofika kwenye uzinduzi wa kivuko cha MV Mafanikio chenye uwezo wa
kubeba watu 100 na magari sita,chenye jumla ya thamani ya shilingi
bilioni 3.3
 Baadhi ya wananchi wa Msanga
Mkuu-Mtwara vijijini wakishangilia jambo mara baada ya kivuko cha MV Mafanikio chenye uwezo wa
kubeba watu 100 na magari sita,chenye jumla ya thamani ya shilingi
bilioni 3.3 kuzinduliwa na Rais Dkt Jakaya Kikwete mapema leo mchana mkoani Mtwara.
Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais wa chama cha Mapinduzi,Dkt Jonh Pombe Magufuli akizungumza
jambo mbele ya wananchi wa Msanga
Mkuu-Mtwara vijijini baada ya uzinduzi wa  kivuko cha MV Mafanikio
chenye uwezo wa
kubeba watu 100 na magari sita,chenye jumla ya thamani ya shilingi
bilioni 3.3,Dkt Magufuli amesema kuwa Rais Jakaya Kikwete katika utawala
wake ndani ya maiaka kumi amefanikiwa kujenga vivuko vipya 15 na
vingine 7 vimekwishakarabatiwa na vinafanya kazi mpaka sasa
 Rais
Dkt.Jakaya Kikwete akizungumza jambo mbele ya wananchi wa Msanga
Mkuu-Mtwara vijijini kuzindua kivuko cha MV Mafanikio chenye uwezo wa
kubeba watu 100 na magari sita,chenye jumla ya thamani ya shilingi
bilioni 3.3
 Bango la mradi huo
 Mkuruegenzi
Mkuu wa NHC,Nehemia Mchechu akizungumza jambo mbele ya mgeni rasmi Rais
Dkt Jakaya Kikwete pamoja na viongozi mbalimbali wa serikali na
wananchi kwa ujumla katika mradi wa ujenzi wa nyumba 30 za makazi
zinazojengwa  na
NHC Shangani mkoani Mtwara zenye thamani ya shilingi bilioni 4.4,
 Rais Jakaya Kikwete akiweka jiwe la msingi  katika mradi wa ujenzi wa nyumba 30 za makazi zinazojengwa  na
NHC Shangani mkoani Mtwara zenye thamani ya shilingi bilioni 4.4,kushoto ni
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa,Ndugu Nehemia Mchechu
pamoja na Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais mteule wa chama cha CCM,Dkt
John
Pombe Magufuli akishuhudia tukio hilo.
PICHA NA MICHUZI JR-MTWARA

No comments:

Post a Comment