NAPE AKUTANA NA BALOZI UINGEREZA
Balozi
wa Tanzania nchini Uingereza Mheshimiwa Peter Kallaghe akizungumza na
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye ofisi za Ubalozi wa
Tanzania nchini Uingereza mjini London ambapo walizungumza masuala mbali
mbali yakiwemo ya Uchumi,Siasa pamoja na Diaspora.
Balozi
wa Tanzania nchini Uingereza Mheshimiwa Peter Kallaghe akipiga picha
na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye ofisi za Ubalozi
wa Tanzania nchini Uingereza mjini London baada ya kumaliza mazungumzo 
No comments:
Post a Comment